I'M TAZGENIUS MFALME WA DAWA TIBA ASILI TANZANIA

🇹🇿
Kuwashwa sehemu za siri kwa wanawake ni miongoni mwa changamoto za kiafya zinazowasumbua wanawake wengi bila kujali rika lao.
Tatizo la kuwashwa sehemu za siri kwa wanawake ni kubwa na hupelekea mwanamke kupata matatizo ya kisaikolojia kwa kuwa mara nyingi inakuwa vigumu wakati mwingine kusema kwa daktari kwamba nina tatizo sehemu zangu za siri.
Chanzo cha fangasi ukeni ni fangasi wajulikanao kitaalamu kama “candida albicans,” ambao kwa kawaida huishi mwilini. Kandida huweza kuongezeka na kusababisha maambukizi. Haya ni maambukizi ya kawaida sana kwa wanawake na yanaweza kumuathiri mwanamke wa umri wowote.
Maambukizi hayasambazwi kwa njia ya kujamiiana (STI). Hata hivyo hutokea zaidi kwa wale wanaoshiriki katika tendo la ndoa wakiwa na michubuko. Vihatarishi vingine hujumuisha ni pamoja na.
👉Tazgenius karibuni sana🖐